Makamuzi na mpigamsuli ugomvi umeishaaa

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
HUYU JAmAA ANAYEJIITA MAKAMUZI ALIWAHI KUNIWEKEA THREAD NIPIGWE BAN ,NDIPO HAPO TUKAINGIA KWENYE UGOMVI ULIOCHUKUA MIEZI SITA ,KWA SASA HUYU MAKAMUZI NI RAFIKI YANGU KWA SABABU AMENIOMBA MSAMAHA KWA KUONANA USOKWA USO NA MIMI NA KUNIPIGIA MAGOTI ,UGOMVI UMEISHAAAAA NA MAKAMUZI
 

Ha ha ha....umenifurahisha.
 
Mwanaume utamwombaje mwanaume mwenzako msamaha makamuzi ni kweli hayo
 
nyie watoto kama mmeshashiba mkalale, muwaache watu wazima wazungumze/
 

Miezi sita ni mingi sana ila kwa kitendo cha kusamehe umetimiza maandiko matakatifu,...sameheaneni. Hiyo ni hatua kubwa ambayo watu wengi hawawezi kuichukua kirahisi. Hongera sana Mpigamisuli
 
Last edited by a moderator:
Miezi sita ni mingi sana ila kwa kitendo cha kusamehe umetimiza maandiko matakatifu,...sameheaneni. Hiyo ni hatua kubwa ambayo watu wengi hawawezi kuichukua kirahisi. Hongera sana Mpigamisuli
nipha hajambo
 
Last edited by a moderator:
Huyu mwanangu huyu!! Hajambo anaendelea vizuri sana. Ana afya njema. Nipha ni usingizi wa baba yake utafikiri yeye ndio first born.

karibu sana jf , , mleeni vizur nipha awe na busara kama baba(thanda) yake na mama yake (thando)
 
karibu sana jf , , mleeni vizur nipha awe na busara kama baba(thanda) yake na mama yake (thando)

Asante kwa ushauri ndugu yangu mpigamsuli. Mwenye Enzi najua atamlinda kama alivyowalinda kaka zake. Kana maakili sana hadi naogopa. Ukiongea naye utafikiri ni mtu mzima wa kama miaka 15 hivi. kumbe wapi!! Anataka kujua kila kitu,hata kuendesha gari utafikiri anaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…