BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Waziri Ummy amesema “Bila afya ya akili hakuna afya, lakini tunaogopa tunajificha katika kivuli cha unyanyapaa. Tutasikiliza kutoka kwa wachokoza mada tutaangalia tatizo la afya katika jamii, shuleni, afya ya akili kwa watoto, binafsi kama waziri nimeona tuvunje ukimya.”
Amesema tatizo la afya ya akili ni kubwa kwani sasa kuna wanawake wengi kwenye vipochi vyao wanatembea na maji ya baraka na mafuta ya upako.
“Lakini kushamiri kwa makanisa mengi ya ajabu ajabu ni changamoto ya afya ya akili,” alisema.
HABARI LEO
Amesema tatizo la afya ya akili ni kubwa kwani sasa kuna wanawake wengi kwenye vipochi vyao wanatembea na maji ya baraka na mafuta ya upako.
“Lakini kushamiri kwa makanisa mengi ya ajabu ajabu ni changamoto ya afya ya akili,” alisema.
HABARI LEO