Makao Makuu ya chama cha Republican, Orange County yalichomwa moto. Je, Tanzania tuliwaingilia?

Makao Makuu ya chama cha Republican, Orange County yalichomwa moto. Je, Tanzania tuliwaingilia?

Kejuu

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
645
Reaction score
906
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.

Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua).

Hii ndiyo njia pekee watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata,

WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.
Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua). Hii ndiyo njia pekee
watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata, WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
We pimbi. Kwa vile ni nchi huru ndo wafanyie wengine u mafia? Muue mwanao kwa kuwa umemzaa mwenyewe.
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.
Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua). Hii ndiyo njia pekee
watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata, WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Uliposema tu kuwa kuna watu wanajiteka na kusingizia Serikali, nikajua kuwa kumbe hii thread imeletwa na mtu ambaye huenda amepandwa na uwendawazimu.

Tunaomba utuambie ni nani huyo aliyejiteka na kusingizia Serikali, pamoja na vithibitisho vyake vilivyo wazi. Usilete porojo kama hii uliyoileta. Hili ni jukwaa lilianzishwa maalum kwaajili ya watu wenye akili timamu, bahati mbaya hakuna kizuizi cha hata wale wasio timamu nao kuingia, kama ulivyofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliposema tu kuwa kuna watu wanajiteka na kusingizia Serikali, nikajua kuwa kumbe hii thread imeletwa na mtu ambaye huenda amepandwa na uwendawazimu.

Tunaomba utuambie ni nani huyo aliyejiteka na kusingizia Serikali, pamoja na vithibitisho vyake vilivyo wazi. Usilete porojo kama hii uliyoileta. Hili ni jukwaa lilianzishwa maalum kwaajili ya watu wenye akili timamu, bahati mbaya hakuna kizuizi cha hata wale wasio timamu nao kuingia, kama ulivyofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Abdul Nondo alijiteka.
 
Uliposema tu kuwa kuna watu wanajiteka na kusingizia Serikali, nikajua kuwa kumbe hii thread imeletwa na mtu ambaye huenda amepandwa na uwendawazimu.

Tunaomba utuambie ni nani huyo aliyejiteka na kusingizia Serikali, pamoja na vithibitisho vyake vilivyo wazi. Usilete porojo kama hii uliyoileta. Hili ni jukwaa lilianzishwa maalum kwaajili ya watu wenye akili timamu, bahati mbaya hakuna kizuizi cha hata wale wasio timamu nao kuingia, kama ulivyofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa chizi wewe, unapopoma tu. Wabongo bana, you don't pay attention to the details, halafu baadae unakuja kuleta uenda wazimu, mbulula kweli wewe
 
Ikiwa kwa jirani yako kunawaka moto na usipoingilia kati haina maana wewe ni mtu mzuri!
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.

Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua).

Hii ndiyo njia pekee watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata, WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Ndeeefu lakini ushuzi mtupu
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.

Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua).

Hii ndiyo njia pekee watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata, WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Genge la kigaidi tulieni dawa yenu inachemka,mna siasa za kipumbavu sana.
 
Mwenyekiti wa Tume kasema uchaguzi unafanyika kwa kutumia fedha za ndani haijawahi tokea tangu TZ ianzishwe.​
 
Unajua wazi kwamba hoja zako ni za kibaguzi, alafu unamweka Mungu na kucote Bible out of context! Swala la kuingiliwa bado, lakini popote penye u-Ghaddafi, matokeo unayajua! Wala msiangaike kumwomba Mungu ambaye hamumuamini, achane u-Ghadafi wa jana ili msiwe Libya ya sasa kesho!
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.

Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua).

Hii ndiyo njia pekee watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata, WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu

Mkuu U.S mpaka sasa walishashindwa, wanajitekenya, huyo Lisu ni nguvu ya soda a.k.a moto wa mabua tu, very soon utazimika na watu tutasahau na hao hao U.S ndiyo wahusika. Uzuri Tz ilishajiandaa kitambo sana, marais hubadilika ila waongoza nchi na wenye nchi hawabadiliki.
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Natumaini mko salama.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Mimi ni mojawapo ya watu ambao hufuatilia sana siasa ya Marekani. Kwa hiyo ni ngumu sana kunidanya chochote kile kuhusu kinachoendelea huko Marekani. Katika generation hii ya dot com, ni vingumu sana kuwadanganya watu, maana tunatembea na dunia kiganjani. Mnamo tarehe 18 Oct. 2016 Makao makuu ya office ya chama cha Republican count ya Orange yalichomwa moto na watu wasiojulikana () (Local GOP office in North Carolina firebombed), lakini Tanzania hatukuingilia.

Sambamba na hilo, kinachoendelea saizi Marekani hakuna utofauti na nchi wanazoziita Authoritarian countries, yaani nchi zinazoendeshwa kidikteta. Level ya freedom of expression imeporomoka sana (). Kwa kusema hivyo, balozi wa Marekani HANA MORAL AUTHORITY YA KUINGILIA UCHAGUZI WETU. Tanzania ni nchi huru na watuachie kama tulivyopambana kwenye korona. Kama bibilia inavyosema "Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako" (Mathayo, 7:5).

Kuna uzi niliuleta kwenye jukwaa hili, click this link: Uchaguzi 2020 - Kuna uwezekano wa nchi hizi zikatumika katika kudukua Mfumo wa Uchaguzi. Intel za Serikali kuweni macho, nilidokeza kidogo kuhusu ujio wa balozi huyu katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwa kusema hivyo, yanaanza kutimia taratibu ndungu zangu. Unajua kuna watu wengine Mungu katujalia kuona mambo kwa upana sana, kwa hiyo ninachokiona kwa sasa, ndicho kile ambacho my instinct ilikuwa inanishuhudia.

Nani ajuaye kama kuchomwa kwa office ya kanda ya kasikazini kama ni mpango tu? Kama watu wanaweza kujiteka na kusingizia serikali (), kwenye kuchoma inashindikana kweli? Katika harakati za kumpindua Fidel Castro, Marekani waliilipua meli yao kule Guantanamo bay, ila wakamsingizia Castrol. Ndugu zangu, jamaa hawa hawa, walisema Libya inaendeshwa kidikteta, wakatengeneza mambo kwa kuwaandaa vibaraka wao, na hatimaye wakafanikiwa kumuondoa Gadafi, lakini saizi kinachotekea kule ni majanga, Libya is currently a failed state (Libya as a Failed State:). Ni wakati sasa wa kumuuliza balozi wa Marekan, yaliyotokea Libya unayajua? Je, hiyo ndiyo democracy mliyokuwa mnaitaka?.

Ukiusoma uzi wangu hapo, utaona kuna mahali nimemuongelea Mh. Tundu Lissu, ni kama ameandaliwa vile, maana hata kauli zake tangu aje, zina ukakasi sana: 1) Safari hii hakuna kumuachia Mungu; 2) Nikishindwa watu nitawaamuru waingie barabarani i.e. Hizi ni dalili mbaya sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.

Kwa vile Mh. Tundu Lissu ni kama ameandaliwa vile, sambamba na matamko haya ya balozi wa Marekani, ninavyoona tutegemee mambo yafuatayo:
  1. Hata kama Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu hatakubali.
  2. Ubalozi wa Marekani hawatakubali pia, na kwa dalili hizi, yawezekana kuna deal done tayari.
Making story short, Marekani hatuwezi kushindana nalo kuichumi wala kivita, njia pekee ambayo tunaweza kuwashinda hawa jamaa na ajenda zao za giza ni KUMUOMBA MUNGU TU. KAMA MUNGU ALITUVUSHA KWENYE JANGA HILI LA KORONA, NAAMINI ATATUVUSHA NA MIKAKATI MIMBAYA AMBAYO MAREKANi NA VIBARAKA WAO WAMESHAPANGA. Nilileta uzi humu, nikisisitiza suala la kumuomba Mungu, wakati nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu: (Katika kipindi ambacho taifa linahitaji maombi mengine tena ni sasa, asomaye na achukue hatua).

Hii ndiyo njia pekee watanzania wenzangu tuitumieni kupambana na hizi ajenda za siri. Niwakumbushe jambo moja tu, tangu Tanzania ianze kufanya chaguzi kama hizi, ni kwa mara ya kwanza Tanzania haijaomba msaada wowote kutoka kwenye mataifa ya nje, zaidi ya bilioni miatatu na kitu zimetolewa na serikali, yaani serikali imegharamia uchaguzi wote kwa 100%. Mh. Raisi ni lulu ya taifa letu, kuwa na kiongozi kama huyu, mwenye maono makubwa na nia ya dhati kabisa ya kujenga uchumi katika taifa, ni adimu sana kuwapata, WE SHOULD, THEREFORE, PROTECT HIM BY ALL MEANS AGAINST INTERNAL AND EXTERNAL ENEMIES, AND PRAYERS WORTH PAYING ATTENTION.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu


Mtakapokua dona kantri mtaweza kuingilia.
 
Back
Top Bottom