Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Wakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU,
Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure,
Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa,
Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani,
#Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru,
Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure,
Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa,
Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani,
#Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru,