Hiyo ni ahsante ya Belgium kwa Rais Samia baada ya kumfutia Lisu kesi zake zote bila masharti. Samia ni msikivu sana kwa Dunia lakini kaweka pamba masikioni kwa kelele zenu enyi sukuma gang. Mtajibeba this time.Lissu rudi kwenu mambo yameharibika mzee
Tumuunge mkono,Hiyo ni ahsante ya Belgium kwa Rais Samia baada ya kumfutia Lisu kesi zake zote bila masharti. Samia ni msikivu sana kwa Dunia lakini kaweka pamba masikioni kwa kelele zenu enyi sukuma gang. Mtajibeba this time.
Wakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU,
Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure,
Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa,
Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani,
#Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru,
View attachment 2032472
Wakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU, Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure, Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa, Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani, #Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru, View attachment 2032472
Wakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU, Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure, Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa, Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani, #Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru, View attachment 2032472
Lissu rudi nyumbani huko wameshakushtukiaWakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU,
Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure,
Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa,
Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani,
#Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru,
View attachment 2032472
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,Wakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU,
Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure,
Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa,
Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani,
#Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru,
View attachment 2032472
Watu wako busy na mambo ya kiuchumi sio porojo za kina Mbowe.
Pili mfumo wa uendeshaji wa kesi uko wazi hakuna mtu kuonewa sasa kwa mazingira kama hayo huwezi sema eti Samia anakandamiza haki ,sio kweli..
Kama kuna Rais wa Ukweli Tanzania tumepata basi ni huyu mama,
#MAMA KAZIIENDELEE
Arudi tu kwakweliLissu rudi nyumbani huko wameshakushtukia
Kaziiendelee, Fanya kaziMr chawa isije kuwa uko mikononi mwa Mr badluck, au kamba za nini
Wakati Lissu na genge lake wakiipigia chepuo Tanzania inyimwe misaada mbalimbali ya kibinadamu na kimaendeleo toka EU,
Mambo ni tofauti kidogo toka Ubelgiji nchi anayoishi Lissu Kwa kula na kulala bure,
Kwani imeamua kuisaidia Tanzania dozi 115,200 za COVID-19 bila masharti huku wakiisifu Tanzania na Rais Samia kwa mageuzi makubwa,
Ukisikiliza hoja za Mwakilishi wa EU aliyefika Tanzania aliyekuwa akitoa hoja bunge la EU na hii misaada inayomiminika toka makao makuu ya EU nadhani ni wakati sasa wa Lissu na genge lake kurejea nyumbani,
#Hawa wazungu wamewachoka hawa jamaa basi tu wanashindwa kuwafukuza kwani wanajua Tanzania chini ya Rais Samia ni Salama mno kuliko wakati wowote tangu tupate Uhuru,
View attachment 2032472
[/QUOTE.]
Hizi chanjo ni kwa ajili ya viongozi. Tunawaachia wachanjane kjla baada ya miezi 3