#COVID19 Makao Makuu ya EU duniani yatoa dozi 115,200 kwa Tanzania bila Masharti

Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Blessed
Blessed Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…