Nadhani 1919 kulikuwa hakuna nchi inayoitwa Tanzania ni TanganyikaJe, wajua, Jeshi la Polisi Tanzania lilipoanzishwa mwaka 1919, Makao Makuu ya Jeshi hilo yalikuwa Wilayani Lushoto, Tanga, hadi mwaka 1930 yalipohamishiwa Dar es Salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangebaki mlimani ili iwe rahisi kuwashughulikia Chadema wanaovunja sheria
Walimpa mimba kisha wakamtelekeza na akafukuzwa kwao kwa Mkunduge
hata Tanganyika haikuwa nchi wakati huo bali koloniNadhani 1919 kulikuwa hakuna nchi inayoitwa Tanzania ni Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app