Makapuku Chalii ,hawa ndio 10 bora kwa sasa.

Kwa sasa kuna "wavamizi" kule Kapuku Forum.
Kipindi inaanza ilikuwa yenye tija tofautiana na "...kupeana likes.." ambapo upo moto kwa kupost nukta,namba na majina ya kata!
 
Ngoja mwenye seat yake aje mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Jose??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Mimi kwenye list simo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
 
Bongee la Point hilo..
 
Sasa unasema makapuku chali wakati Hao wanaoongoza mbona wapo makapuku karibia wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…