Coastal wamekaza lkn Mpira dk 90....usikate tamaaNdorobo wakubwa
Furaha yako mnyama kupigwa cha mauziKaka mkubwa nini tena.
Watakomajeee.....Kichaa kapewa rungu
1;1.......Furaha yako mnyama kupigwa cha mauzi
Kazi kufukunyua thread enz za jakayaWakongwe wote wameingia mapangoni km ya Amboni wanaona giza tu.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji114]1;1.......
Kila MTU anajiona faza wa Jf ....hawafiki mbaliKazi kufukunyua thread enz za jakaya
Hata wafanyaje sisi hatushikiki wala hatukamatiki.Nawaona wakongwe wamekuja kujibu mapigo wameanzisha thread ya old school
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na huo uzi wao hautafika mbali bila sisi.Hata wafanyaje sisi hatushikiki wala hatukamatiki.
Ha hahaHebu tawanyikeni kwa muda mkachungulie na forum nyingine sasa loh[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hata sisi tulimiss sana uwepo wako kwa MAKAPUKU chat room.Niko poa mkuu niliwamisi sana.
Mzee umeenda kuroga huko ili simba adrooPouwa matokeo?
Usipomtambulisha mapema kwangu, nitamuimbisha huko pm fanya haraka mazee.pkule pm marufuku mheshimiwa waziri
Kivipi una mashaka na mie??mh nina mashaka na ukapuku wako
Asante sana Mkuu kwa niaba yao.Usijali umesamehewa
Teamkapuku