Watashida2-1 au zaidi trust meMzee umeenda kuroga huko ili simba adroo
Labda ataitwa Mfu.Hahahahaaa hivi maiti akifa ataitwaje
Pamoja sana Mkuu.Usijali mkuu tulikua tuna kumbushana tu...
Mkuu mimi sio Kapuku, mimi ni mkongwe, in fakti mimi ni miongoni wa wale ambao hushobokewa nikianzisha siledi. Ila shabiki wako mwana, kazi zako nazikubali hasa ile inayofundisha kupiga viwalo. Imenisaidia sana...Karibu
Makapuku chat room
Makapuku wamechefukaHii ngoma imevunja rekodi post2162!!!
Yes, you are Wellcome.Am i kapuku
Hakuna limit ya member kuchat...isipokuwa list tuMkuu mimi sio Kapuku, mimi ni mkongwe, in fakti mimi ni miongoni wa wale ambao hushobokewa nikianzisha siledi. Ila shabiki wako mwana, kazi zako nazikubali hasa ile inayofundisha kupiga viwalo. Imenisaidia sana...
Hata wasipoweka sticky....tunakimbiza tuHii ngoma imevunja rekodi post 2162 ndani ya saa 72!!!
Wazima mkuu,karibu tenaHumu wote wazima?
Na badoHii ngoma imevunja rekodi post 2162 ndani ya saa 72!!!
mshana jr anafanya mambo yakeMbona hii sredi imewekewa picha ya kalumanzila???
Watu wanalinda point zisi yeyukeMbona hii sredi imewekewa picha ya kalumanzila???
[emoji3] [emoji3] [emoji3] watabana mwisho wataachia.Nimepotea siku moja tu lakini nilichokutana nacho duuuuuu!! Makapuku tuko vizuri k2
Mpoo lakini humu nimerudi ila naona mods bado kabisa
Kweli mkuu,mimi sitamani hata kujua dunia inaendaje huko kwa wakongwe.Ila jamani ukisha ingia humu kutoka kwenda kwenye post zingine ni nguumu