Nliposikiwa wewe ni mhasibu Wa kapuku aoutomat nkawa royal member....Love kumbe na wew kapuku eeh
Nipooo sema tumajukumu tunakaba sana..Tulikumisi
duh, haina nomaNjoo uwe unakusanya na kulinda likes zangu dhidi ya wezi Wakongwe.
Makapuku forumUnaenda wapiiiiii
Nimechekaa paka watu wananishangaaa daah kapuku mnatishaaNjoo uwe unakusanya na kulinda likes zangu dhidi ya wezi Wakongwe.
Sawa mkuuMakapuku makapuku makapuku
Kwa wale wakazi wa Dar es salaam
Nyumba inakodishwa iko wilaya ya Temeke (Mbagala kizuiani),
Vyumba vitatu, dinning room, sitting room na jiko.
Ina eneo kubwa la parking
Umeme na maji
Iko mita 250 kutoka barabara kuu ya rami.
Kwa mawasiliano
0717337571
0718052790
Mkuu! U-busy ndo mwingi, kazi zinanibana.We nakujua speed yako kama ya kobe.
Nini tena braza[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] braza braza brazaa
Mpendwa habar za mchana? Hivi umepata lunch kweli au ndo kapuku forum tuu.....Mmhhh
bebelove teeeenaaaa?????[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Usijali tuko pamojaNipooo sema tumajukumu tunakaba sana..
Pole dear.....Nipooo sema tumajukumu tunakaba sana..
Usiwe na wasiwasi mkuu,likes zako utazikuta tu.Mkuu! U-busy ndo mwingi, kazi zinanibana.
makapuku tunatisha yaani wengine wanajikongojaaa....Nliposikiwa wewe ni mhasibu Wa kapuku aoutomat nkawa royal member....
Hivi makusanyo yanakwendaje?
Tumejenga na nyumba kabisaaaa.....team mafacebook sasa yamehamia JF
Kachambe ulaleteam mafacebook sasa yamehamia JF
Ushakuwa jipu tayari.Haaahaaaaaa
Nimecheka kwa nguvu had niliokaa nao wananishangaa
Mmmhhh
Kapuku family inanifanya niwe busy nayo kuliko kazi
Uwiiiiii..nisije nikawa jipuu
Mkuu tuombe radhi.team mafacebook sasa yamehamia JF
team mafacebook sasa yamehamia JF