Tutakupa sitaMakapuku naomben like
Mkuu unatumia Pc au simu?Kwangu baadhi ya emoji hazionekani nini tatizo makapuku?
SimuMkuu unatumia Pc au simu?
Kuna raha kule, wee acha tu.Aisee inabidi nikaone,nahisi kinackoendelea huko ni mara mbili ya hapa.
Itakuwa wakongwe wanakufichia....kama wanavyoiba likes.Kwangu baadhi ya emoji hazionekani nini tatizo makapuku?
Haitozimwa mwezi wa sita imehakikiwa na TCRAItakuwa wakongwe wanakufichia....kama wanavyoiba likes.
Hiyo Simu yako sio ile inayozimwa mwezi Wa sita?
Kwenye simu sometimes inategemea na type ya keyboard unayotumiaSimu
Hahaha,usimtishe mkuu.Itakuwa wakongwe wanakufichia....kama wanavyoiba likes.
Hiyo Simu yako sio ile inayozimwa mwezi Wa sita?
MtaalamuKwenye simu sometimes inategemea na type ya keyboard unayotumia
Jaribu kuweka Google keyboard as default.
Achana nae mchambia gunzi huyoKachambe ulale
[emoji3] [emoji3] [emoji3] sio sanaMtaalamu
Kwani huyu @youngbood hajaenda pm tuuuuKuna raha kule, wee acha tu.
PMWapi tena huko Mkuu?