HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Kwa nguvu tulizo kua nazo hapa aiitaji nguvu ya ziada...... Makapuku tunawezaHuyu ni wa kutafutaaje aongeze nguvu
Daah pole sana, sitarudia tena kukupa jibu hilo[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Unanipa jibu kavu sana.
Mkuu nimi ni mweupe tu,zaidi ya hapo labda kama nataka kuwa mzungu.Mbona maji hayapo?
Au hutaki kuwa mweupe?
Huyu dawa yake moja... Kabla ajalipa hiyo mahari akuonyeshe kwanza kama ataweza kuku hudumia....mama utaje shida zako zote.. Akiweza tangazeni ndoaAnataka kunizeesha tu mtoto wa watu
Ongeza kidogo tu [emoji54] [emoji54]Mkuu nimi ni mweupe tu,zaidi ya hapo labda kama nataka kuwa mzungu.
Atapata kwashakoo shauri yake.......Mwenzio ndo kamaliza hapo [emoji14] [emoji14]
Nitafurah sana mkuu.duh mkuu kwa hii lunch ntakua nakuachia mke wangu umpigishe story nikiingia shift ya usiku [emoji1] [emoji1]
Sitaki mkuu,labda hii dose nimpe BitozOngeza kidogo tu [emoji54] [emoji54]
Mwache aendelee kuigiza maisha ya wazungu. Atabaki kama 1Atapata kwashakoo shauri yake.......
Mvute tu aje..... Maana hakuna namna sasaHuyu ni wa kutafutaaje aongeze nguvu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huu uzi ni mtamu zaidi ya naniliu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mwambieni kwa kuanzia anichukukie Mercedes Actros ya biashara[emoji85] [emoji85]Huyu dawa yake moja... Kabla ajalipa hiyo mahari akuonyeshe kwanza kama ataweza kuku hudumia....mama utaje shida zako zote.. Akiweza tangazeni ndoa
Wabwia sembe wange gundua mapema.... Wangeingia huku... Kilevi cha hapa hakina madharaHuu uzi ni mtamu zaidi ya naniliu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Atakubali tu,nasikia jamaa ni mweusi kiasi kwamba akivaa shati jeupe anaacha rangi.Atakubali??
sema tu roho inakuuma unatamani uwe weweNamuonea tu huruma jinsi unavyomchezea faulo