Zaidi ya chocolateHuu uzi ni mtamu zaidi ya naniliu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Atakubali tu,nasikia jamaa ni mweusi kiasi kwamba akivaa shati jeupe anaacha rangi.
Hahahaa hapana haujazidi naniliu mshana jrHuu uzi ni mtamu zaidi ya naniliu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahahaha huyo anahitaji maji Lita 10,000 kila sikuAtakubali tu,nasikia jamaa ni mweusi kiasi kwamba akivaa shati jeupe anaacha rangi.
akinikataaa nakurudia wewe, ukileta pozi naelekea kwetu kwamsisi HANDENI muulize mshana jr na ungangari wake aliwahi kugeuzwa DAGAAHuyu dawa yake moja... Kabla ajalipa hiyo mahari akuonyeshe kwanza kama ataweza kuku hudumia....mama utaje shida zako zote.. Akiweza tangazeni ndoa
Sababu rekodi yetu hadi tunazeeka sidhani km itavunjwa......Kumbe kuna kazawadi
Wapi wewe! Sema Suuuuu nimtag my baesema tu roho inakuuma unatamani uwe wewe
Hahhahahaaaa mbinu mbadalakwa anayejijua ni KAPUKU atie Like hapa..
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Zaidi ya chocolate
Na uhakika utauwa bendi jimenaMwambieni kwa kuanzia anichukukie Mercedes Actros ya biashara[emoji85] [emoji85]
lazima nitumie fursa vyema angalau nkufikie wewe hata roboHahhahahaaaa mbinu mbadala
Ushanitisha sana lakini huna lolote... Njoo kwa mtoto wa KIZIGUA ujiachie upendavyo.. Usafiri wetu ni UngoWapi wewe! Sema Suuuuu nimtag my bae
siyo anaacha rangi tu, bali mpaka akioga anachuja rangi
Ni sheeda mkuu.Sababu rekodi yetu hadi tunazeeka sidhani km itavunjwa......
Huu uzi una spidi hata mimi unanishinda kulikelike....yaani post nipost...like nikulike
Halafu karibu post zote full reply
Ni shiida
..................................................
Tanga raha sanaUshanitisha sana lakini huna lolote... Njoo kwa mtoto wa KIZIGUA ujiachie upendavyo.. Usafiri wetu ni Ungo
Mkuu kumbe na wewe ni kapuku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Latest uptodates n breaking newsViews 27350
Replies 3560
.........................