mimi hapa[emoji119] [emoji119]Nani sijamgea like?
Hahahaaaa Ndio Nani huyo hebu nielekeze nimsakee. Anapatikana jukwaa gani?Nimemwona nyani ngabu hivi hajarudi tena humu au huyu jamaa anapenda sana ubinafsi na ukingwe wake ati
Usipoenda kwa hiari yako sasa Utaenda kwa nguvu si unataka mambo yawe poa?Bila kaniki..... Hiyo ya kaniki plus safari ya msata imenishinda kabisa...... Kunguru mwoga.......
Mimi bado, kiufupi umenitenga sanaaaaa[emoji134] [emoji134]
Andikenii tena niwageeeeeeeee..mimi hapa[emoji119] [emoji119]
[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hahahahaaa aaaa😀Naona watu mmeanzisha mapenzi huku mmesahau tuko kwenye harakati za kutafuta heshima kwa wakongwe kama mapenzi mkaweke post kulee
haya nmeshaandika Mrembo BAndikenii tena niwageeeeeeeee..
Hapa like tuuu
Daaaahhh. Share kinywaji with makapuku
Kila siku tuu unammegea unazani raha. Ha ha haaa.Sasa imekuwaje ukanisemea kwa sumbai
Njoo hapa nilipo nikunong'oneze kitu kisha takununulia dompoDaaaahhh. Share kinywaji with makapuku
Ooh sikuwa nimeonaNimemjibu vizuri hapo juu
..............................................
mimi glass yangu hii hapa[emoji483] nmiminie kidogo ndugu
Hii ni arikohori au ni pombe?
Sawa kapuku...haya nmeshaandika Mrembo B