Pole[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu
Hahahamshana njoo uwapige changa hawa majamaa wasione mpaka niscore
Sijatetea mtu, labda hujanielewa.na wewe utamtetea vipi mtu ambaye amekuja na kauli za kipuuzi? Au na wewe ni mbeba box mwenzake
Naona penzi limeanza kufaKabisa ampe makavu tu ila chuki atupe mbali hapa jf ni peace and love baaaas
mwenyewe sielewiNini tatizo tena
Asante mkuuPole
Wapi tena mkuu mshana jrNaenda kukoleza spidi naona kuna ulegevu fulanj
People for peacemwenyewe sielewi
Nenda mkuu tunakuaminia.Naenda kukoleza spidi naona kuna ulegevu fulanj
Jiangalie aisee usije kua bata mzinga huyo mtu achana nae hatishwimshana ukiwaachia na wewe nakuroga