duh kama huwajui hao watu basi wewe sio Mtanzania.
ushawahi kusoma kitabu cha zawadi ya Ushindi?
Ni kweli kabisa. Vitabu nasoma story ila waandish siwafuatiliagunaonekana wewe sio msomaji wa vitabu
Hivi kumbe mko serious? Haaa makapuku at their besteeeHabar za usiku shem
Ulegevu gani tena wakati huu uzi umekolea zaidi hata ya limbwata???Naenda kukoleza spidi naona kuna ulegevu fulani
achana nae lakini nilazima uwakemee wanachama wako.... Hiyo ni tahadhali na lazima hii sheria ifuatwe. huwezi kumchekee mtu anayewatusiMi mwenyewe yule jamaa sikumuelewa hivi tukimripoti haisaidii???
Yule au?Mi mwenyewe yule jamaa sikumuelewa hivi tukimripoti haisaidii???
Nzuri shem! Uko salama?Habar za usiku shem
ushawahi kumsoma WILLY GAMBA au JORAM KIANGONi kweli kabisa. Vitabu nasoma story ila waandish siwafuatiliag
Karibu sanaHii imetulia sana, shujaa ni yule anayeweza kutumia siraha au mbinu za adui kubadilisha mwelekeo. Hivyo kutumia jina la Kapuku ili kuwafunika au kuwafanya wanaojiita wakongwe dhalili ni sahihi. Pamoja na kuwa mimi ni wa zamani kidogo JF lakini najiunga Timu Kapuku Udhalilishaji na kujikweza mwiko.
Shukurani mkuu. Hongera kwa wazo zuri la kutuweka level moja.Karibu sana
Unawa zungumzua kina sikamona?;yule dada mpenziwe jina limenitokaduh kama huwajui hao watu basi wewe sio Mtanzania.
ushawahi kusoma kitabu cha zawadi ya Ushindi?
Hatari sanaHivi huku mnakimbizwa au... Si muda kidogo nilitoka humu... Saivi mmefika hapa.. Hili chimbo hatari
Asante sana. Tunataka usawa kwa memba wote humu JFShukurani mkuu. Hongera kwa wazo zuri la kutuweka level moja.
Upo kijana... Warning letter umepata au una ukaribu na bossHatari sana
Vp vitabu vya Sam Kitogo kama sikosei maana nilivisoma zamamani nafikiri vilikua na watu kama Heren Jeuri, Kamanda Giro. Vya Gamba na Joram Mimi nimevisoma sana.ushawahi kumsoma WILLY GAMBA au JORAM KIANGO
Umeonae...mimi ninaomba poo jameni...Hii speed ni balaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usijaribu utaachwa nyumaUmeonae...mimi ninaomba poo jameni...