Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Karibu sana
Soma post # 3
Halafu uje tuweke kigodoro
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.............................................
Huyu Gamba kama vile namjuaushawahi kumsoma WILLY GAMBA au JORAM KIANGO
Hahaha,kumbe wewe pia unafika huku
Hii thread inahusu makapuku.
Makapuku hatuna shida,huku ni upendo na amani tuHaaaa nahisi vigezo sina.. lol
Nishakatwa huku mie
Kwenye list ni waliojoin Jf from 2014 up to date.....Kumbe.. kuna ma likes ya kufa mtu huku haaaa... Mmetisha sana
Ni add na mimi nichit chatike
Nawajua mkuu ila nilikuwa namzingua tu peterchoka mi ni muumini mkubwa wa hizo hadithiHawa ni mastaa wa riwaya za kipelelezi za kitanzania
Nimekarbishwa kwa upendo nawe utakaribiswa tu. Huku heshima mbele.Haaaa nahisi vigezo sina.. lol
Nishakatwa huku mie
kweli mannakusanya likes tu mkuu usijali
nami nimekuacha kusudi nilijua tu unanogesha uziNawajua mkuu ila nilikuwa namzingua tu peterchoka mi ni muumini mkubwa wa hizo hadithi
Pomoja mkuu hizo hadithi zilinifanya nijue kusoma kabla ya kuanza la kwanza baada ya kuwa nasikia kaka zangu wanasimuliana vitabu vya willy Gamba.Nawajua mkuu ila nilikuwa namzingua tu peterchoka mi ni muumini mkubwa wa hizo hadithi
Senk you vere much...Makapuku hatuna shida,huku ni upendo na amani tu
Vp vitabu vya Sam Kitogo kama sikosei maana nilivisoma zamamani nafikiri vilikua na watu kama Heren Jeuri, Kamanda Giro. Vya Gamba na Joram Mimi nimevisoma sana.
Kweli mkuu,watu leo nadhani wanapika makande.Leo wenye zamu ya kupika ni wengi kweli... Spd imepungua
Na walio kuepo ni wachoyo wa kugawa like balaaKweli mkuu,watu leo nadhani wanapika makande.
Wakina JimenaNa walio kuepo ni wachoyo wa kugawa like balaa
Mbona mimi naona kama complete paralysis.Huu uzi umeipa forum partial paralysis
Nitoe kwenye hao wachoyoNa walio kuepo ni wachoyo wa kugawa like balaa