Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mkuu kwani wewe si mchoyo!Nitoe kwenye hao wachoyo
Huu uzi umeipa forum partial paralysis
Mi sio mchoyo wewe [emoji54]Nitoe kwenye hao wachoyo
Kivipi mkuu Mshana jrHuu uzi umeipa forum partial paralysis
Mimi naomba tu,supu ya pweza.Jamani nipo jikoni napika ugali kwa supu ya
pweza na ngisi
Sort of mass hallucinationsKivipi mkuu Mshana jr
njoo huku kigamboni uchukueMimi naomba tu,supu ya pweza.
Huyu atakuwa ibra87
All eyes iko kwa kapuku forum (not actual translation)Tutafsirie tusiojua kiingereza... umetuacha Kibaigwa hapo🙂
Unanitisha mkuuMi sio mchoyo wewe [emoji54]
Kwani una mechi?Mimi naomba tu,supu ya pweza.
Hii hali ya hewa huku kwetu inashawishi kabisa.Kwani una mechi?
Umemnukuu vibaya...maana yake ni kwamba kidhuli kura na nduguyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unanitisha mkuu
[emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mi sino
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....................................
Na nini tena?Unanitisha mkuu
Natumaini unamaanisha wengi wanajikuta wanatuchungulia makapuku hata bila kupenda maana ukufungua lazima itajitokekeza kua iko active all the time.All eyes iko kwa kapuku forum (not actual translation)
Kuwa makini na feki fekiHii hali ya hewa huku kwetu inashawishi kabisa.
Nilikuwa sijaelewa.Umemnukuu vibaya...maana yake ni kwamba kidhuli kura na nduguyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]