Akisema baby wako sisi ni nani tusiamini watu wanatumia shuka moja maka akee [emoji1787]
Mmh kuna usalama kweliii [emoji1787] maka akee usiendeeeBabe njoo nikwambie kitu.
[emoji1787] Mvumilie tu my wiii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kummiss kwangu hakua bahili ila miwivuu sasa na kuchungana., sitaki ht kumsikia, Wiii kaka wenu nilimpa password ya Id yangu akanibadilishia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kisa alikuta nimetoa no ya nitumiwe Chech za Moet jamn... Kanitesa mbwa yule
Kuwa na aman ,Makapuku ni sehemu salama zaidi ktk chit chat ya kudumuMmh kuna usalama kweliii [emoji1787] maka akee usiendeee
Shangazi,Makapuku ni sehemu salama kuna ulinzi wote wa Iron Dome ,hapa ni full security 😂😂[emoji1787] Nacheka mimi my wiiii
Acha wivuuuuu🤣🤣🤣Mmh kuna usalama kweliii [emoji1787] maka akee usiendeee