Hahahahaha leo sijui niwe upande gani katika hii mechiSTARS VITANI AFCON LEO
.
[emoji1241] TANZANIA [emoji739] DR CONGO [emoji1078]
[emoji354] 23:00
[emoji2522] Amadou Gon Coulibaly
.
Huu ni mchezo mgumu lakini Taifa Stars wakipambana vyema Ushindi unawezekana. Katika mashindano haya safari hii hakuna timu ndogo ni kujipanga tu hivyo kwa upande wetu, tunachohitaji ni ushindi ili tuweze kuingia katika hatua ya 16 Bora. View attachment 2881146
Wapi hii Mkuu