HahahahaKapata mzee wa pensheniiii
HahahahahaYupo kawa mkwepu jr auntie [emoji1787][emoji1787]
Na mvua hizi, mafuriko kiasi watubwanaokota magari uwani kwao unaendelea vipi kuwa mwana DARAJANI A.K.A virasta fc, hamia kwa washika mitutu
View: https://www.youtube.com/watch?v=ldQrapQ4d0Y
makaveli10 Lee mkwepu jr sijawaita kwa sababu hampo, nimewaita sababu hamjasema sababu ya kutoamini kwamba ninashabikia Luton FC siku hizi na siko darajani tena
Ikifika jumatano ya majivu nikumbushe nijibu swali lakoJe, mzazi au mlezi (au kwa upamoja wao) wanahusika kwenye makosa aliyotenda mtoto wao. ?
Kuna la kujiuliza hapa kuelekea Jumatano isiyo ya majivu
https://www.nytimes.com/2024/02/06/us/jennifer-crumbley-michigan-shooting-verdict.html
Ikifika jumatano ya majivu nikumbushe nijibu swali lakoJe, mzazi au mlezi (au kwa upamoja wao) wanahusika kwenye makosa aliyotenda mtoto wao. ?
Kuna la kujiuliza hapa kuelekea Jumatano isiyo ya majivu
https://www.nytimes.com/2024/02/06/us/jennifer-crumbley-michigan-shooting-verdict.html
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]AiseeeeKapata mzee wa pensheniiii
Punguza Mdomo[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anajifanya yuko busy, nchi hii unakuwa busy na nini eti!!!
Hahahahaha, duhPunguza Mdomo[emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahaha, duh
Ahsante swahiba heshima na wewe...huu mwezi wenu bana ..sie wengine hatuhusiki kbs[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heshima yako Swahiba...
Heri ya mwezi wa wapendanao.
Utahusika tu Swahiba..Ahsante swahiba heshima na wewe...huu mwezi wenu bana ..sie wengine hatuhusiki kbs
Hahahahahaha hapana swahiba..kama wewe hujanielewa hkn mwingine wakunielewa..hivyo acha tu .niwe mtazamaji..maana hakuna pasipoelewekaUtahusika tu Swahiba..
Tafuta mahali hapaeleweki jipachike hapo kwa muda🤣
Mpaka unilipe hela yangu🤣🤣🤣Punguza Mdomo[emoji1]
Ndio maana umepotea!! Kumbe unahangaika na mwezi. Huyo anayehangaikiwa sasa🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heshima yako Swahiba...
Heri ya mwezi wa wapendanao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahahaha hapana swahiba..kama wewe hujanielewa hkn mwingine wakunielewa..hivyo acha tu .niwe mtazamaji..maana hakuna pasipoeleweka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ifike mahali uache huu ujinga..Mpaka unilipe hela yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana umepotea!! Kumbe unahangaika na mwezi. Huyo anayehangaikiwa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]