Duh..mbaya ingeungua ya SinzaKijiwe maarufu cha starehe kiitwacho Kitambaa Cheupe kilichopo Tabata Barakuda Jijini Dar es salaam kimeteketea kwa moto uliozuka mchana huu ambapo Jeshi la Zimamoto bado lipo eneo la tukio kuendelea kuzima moto huo ambao pia umezifikia hadi nguzo za umeme.
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto ameahidi kuongea na @AyoTV_ muda mfupi ujao kutoa taarifa kamili kuhusu chanzo cha moto huo na taarifa nyingine muhimu kuhusu tukio zima, endelea kufuatilia kurasa za millardayo. View attachment 2913351
Ha hahahahahaha. Duh, jembe halichagui shamba na ndiyo wakaubadilisha upande wa pili mchagua jembe si mkulima
...kumbe zina tofauti. wazee wa bucketDuh..mbaya ingeungua ya Sinza
...nadhani ni kitendo kizuri sana. Mfungwa bado ni mtu na anapoondokewa na mtu wake wa karibu basi aruhusiwe kuhudhuria tahadhari zote zikichukuliwa. Sina hakika sana lakini kuna kesi moja (inawezekana alikuwa sio mfungwa tayari) lakini mama mmoja maarufu aliruhusiwa kwenda kuwazika wanaye ambao aliwapa sumu kisa mapenzi/wivuMahakama Kuu Nchini Kenya imeamuaw kuwa kuanzia sasa Wafungwa wote wanaotumikia kifungo gerezani pamoja na Mahabusu, wanayo haki ya kuhudhuria maziko ya Ndugu zao wa karibu wa Familia na kusisitiza kuwa hatua hiyo sio tu ni sehemu ya kulinda haki za Binadamu lakini itawasaidia Wahusika kuwa sawa kihisia.
Jaji wa Mahakama hiyo Lawrence Mugambi ametoa uamuzi huo huku akisema hata hivyo kama kutakuwa na mazingira ambayo yatafanya suala hilo kuwa gumu taratibu zitazingatiwa ili ruhusa itolewe kwa umakini βMfano kama Mfungwa alihukumiwa kwa kosa la mauaji na Ndugu wa aliyeuawa wapo msibani hii itahatarisha usalama wa Mfungwa anapokwenda kuzika hivyo ni sawa kutotoa ruksaβ
Uamuzi huu unakuja baada ya Mfungwa Moses Dola wa Gereza la Kiambu kuwasilisha ombi Mahakamani akilaani kitendo cha kuzuiwa kwenda kumzika Mama yake July 12,2021 akisema kitendo hicho kimemnyima haki yake ya kibinadamu.
UmeonajeView attachment 2913301
Hahahahaha..nadhani ziko tatu...Tabata..Kinondoni na Sinza...kumbe zina tofauti. wazee wa bucket
Drc wana sheria mfungwa km una mke na ulijaza fomu basi mkeo anakaribishwa kukutembela mara moja kwa mwezi na mnatengewa chumba cha kuongea kikubwa na kushtua msuli kdg ..ππ...nadhani ni kitendo kizuri sana. Mfungwa bado ni mtu na anapoondokewa na mtu wake wa karibu basi aruhusiwe kuhudhuria tahadhari zote zikichukuliwa. Sina hakika sana lakini kuna kesi moja (inawezekana alikuwa sio mfungwa tayari) lakini mama mmoja maarufu aliruhusiwa kwenda kuwazika wanaye ambao aliwapa sumu kisa mapenzi/wivu
Nashukuru sana mdau, dua zako zipokelewe na iwe kwetu sote.Mdau makaveli10 nakusalimia na kukutakia siku nzuri kwako. Uishi sana, afya na mafanikio kwako
Bana kongo, wako vizuri, tendo la ndoa ni haki ya msingi saaana.Drc wana sheria mfungwa km una mke na ulijaza fomu basi mkeo anakaribishwa kukutembela mara moja kwa mwezi na mnatengewa chumba cha kuongea kikubwa na kushtua msuli kdg ..ππ
...hii lazima ieleweke vizuri. Kwa tunaoruhusiwa mitala basi misuli itakuwa inashtuliwa kwa mtindo wa nne mara mojaDrc wana sheria mfungwa km una mke na ulijaza fomu basi mkeo anakaribishwa kukutembela mara moja kwa mwezi na mnatengewa chumba cha kuongea kikubwa na kushtua msuli kdg ..ππ