Weeeeeh! Shindwaaaaa![emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio auntieee au nimwambie atuteke wote
Umenimiss eeh?
Eeeh kumbe nami sikujua hiliKumbe shunie na mideko ni watu wawili tofauti na huyo lerato ni watu mfanano na shunie. Ni kama ambavyo sikujua ufanano wa atoto na espy. Mnatuchanganya sana.
Kumbe huyu mrembo ni mchagaMakiwendo hujambo mrembo wa kichaga
Ooooh kumbeMmh kwa sisi wa zamani kuna lerato sijui ni relato alikuwa na Rafiki yake anaitwa Maserati sasa kama ni mideko kairudisha ni yeye ni vizuri
Hahahahaha[emoji1787][emoji1787] unaogopaje auntie unatekwa kwa maraha na mautamu
Hahahahaha..Kutekwa Auntie...Huogopi?😅
Hahahahaha watakua washatekwa siku nyingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyieeee hamjapata wa kuwateka
Ila Swahiba...Sawa😅Kumbe huyu mrembo ni mchaga
Salaama kabisa 🤚🤚🤚
Nakuona mc leratoo. Hivi kuna shule inaitwa lerato girls?Salaama kabisa 🤚🤚🤚
Sijui boss.Nakuona mc leratoo. Hivi kuna shule inaitwa lerato girls?
Salaaam, Umeshinda aje wewe?
Huko mwisho mwisho waweke hao wengine.