Nimechelewa kupata wito wako Mjukuu, si unajua Babu yako nikikosa kuvuta Kiko yangu huwa nawahi kulala[emoji12][emoji847]
Shukrani kwa magazeti
Muwe na siku njema
Tuanze na hilo la namba ya Simu ya Upepo, nataka nianze kumtambia jirani yangu Mzee Patel, kwamba Kliniki ijayo ya macho utanipeleka wewe Mjukuu [emoji12]
π π πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli, hata hivyo nimeambiwa umeniagizia Kiko dozen 2 ndiyo nipo kuzisubiri tangu asubuhi π[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilijua tu babu utakuwa ulilala
Kwa kweli, hata hivyo nimeambiwa umeniagizia Kiko dozen 2 ndiyo nipo kuzisubiri tangu asubuhi [emoji12]
...mdau nakusalimia pia, salamu ulipoipeleka imeanzisha nyingnine
Bado hazijafika, hata hivyo nina yule Kijana wangu anayefanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu hapo Mjini. Fika umpe nitazipata πBado hazijafika tu babu
Bado hazijafika, hata hivyo nina yule Kijana wangu anayefanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu hapo Mjini. Fika umpe nitazipata [emoji12]
Nimefanyaje Mjukuu lakini ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila babu [emoji1316]