[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nimetekwa, natamani Duniani tubaki wawili tyuu mie na yeye.Aloooooooooh [emoji1787][emoji1787]
Thubutuuuuu[emoji1787][emoji1787] na tena kibonge mweusiiii [emoji4] ukweliii ni upi sasa [emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka vibaya....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] auntie mume wa cocs kama wa mtani wako hataki awe active jf yaani nikimention hapa nitakula kichambo
Thubutuuuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka vibaya....
Cocs anamficha kama mihadarati
Wengine sie humu hatukumbukwi ila uzuri tunawakumbuka
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona hivi lakini?..Aliyekumbukwa humu naniiiii we mzeee zaidi ya cocs kumuita lee na me kumsaidia kumuitiaaa we ukikumbukana na swahiba wakooo makiii inatoshaa [emoji1787][emoji1787]
Basi akii9na ajitokeze alipo😅[emoji1787][emoji1787] Sijamkumbukaaa auntie anaitwa na cocs nimemsaidia tu kumuitia
Marahaba, hujambo mndali wa undali Ilejeshikamoo woteee
Ungekuwa karibu nami ningekufanyia mpango, lakini daah, pole sana bro.Makapuku wenzangu sina hela ya kula hapa nilipo.. tunafanyaje??
Mkuu Tresor Mandala mambo vipiWengine sie humu hatukumbukwi ila uzuri tunawakumbuka