Weeeh huyo hajawahi kulala mapema hivi. Kuna mahali kabanwa🤣Kalala saivi!
Ongea taratibu asikusikie.Weeeh huyo hajawahi kulala mapema hivi. Kuna mahali kabanwa🤣
Wewe mbona hujalala?Ongea taratibu asikusikie.
Amelala bwana saa nne hii ujue😂
Nina stress fulani hivi ningekuwa nime lala saivi.Wewe mbona hujalala?
Naam mdau, nipo hapa ndugu yako.
Nakusalimia shemegi,Wewe mbona hujalala?
...right on, Makapuku ni kama utawala wa muingereza, kuna mahali ni saa tano kasoro asubuhiHahahahaha...kuna watu ndio wanaamka
Huyu jamaa ali trend sana ila hakudumuView attachment 3017611
...wengine tunasubiri usiku
Sawa sawa...right on, Makapuku ni kama utawala wa muingereza, kuna mahali ni saa tano kasoro asubuhi
Iko hivyo mkuuYaah, nipo hapa narudi nyumbani lakini napishana na watu ndio wanaenda kwenye harakati.
Mjini ni mjini tu kuna wa kulia kushoto wa juu wa chini , ndio hivyo tu.
Tuko kwa sherehe.Nina stress fulani hivi ningekuwa nime lala saivi.
Wewe nawe mbona upo macho mpaka sasa?
🤣🤣🤣🤣Nakusalimia shemegi,
Naangalia Euro hapa Germany
Asante, sherehe njema ndugu yangu, be care .Tuko kwa sherehe.
Stress gani tena? Pole sana.
Okay, ulale sasa.Asante, sherehe njema ndugu yangu, be care .
Mh! Nipo nipo aisee [emoji1787]Okay, ulale sasa.
Basi sawa.Mh! Nipo nipo aisee [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kwelii mahi shoggs? Mbona naogopaaa!!![emoji1787][emoji1787] Picha ulizoletewa uko sio mimiii uliza uambiwe