Naaaaam Auntie🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huku ni utu na utulivu
Hahahahaha we huwezi kuwa mweusi, rangi ya mtume inakuaje nyeusi..Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na huu weusi mangala wangu we mzee
Hahahahaha, mambo Swahiba kipenzi🤣🤣🤣🤣
Tresor Mandala unaita na Auntie Swahiba...
Sawa sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huku ni utu na utulivu
Hahahahaha nakuangushaje tena ShangaziEbu akujeee bwanaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ananiangusha huyu mzee
Sehemu salama kabisa hukuMgeni akaribie tu...
Huku hakuna kuchafua hali ya hewa🤣🤣🤣
Hahahahaha ulijuaje shangazi, hilo ndio tatizo langu kuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we mzeeee ebu njoooo jamaniiiii au domo zege
Hahahahaha hii dawa nipewe haraka aisee sio kwa kuumwa huku halafu watu wanakaa dawaDawa yake iko Auntie🤣
Hahahahaha swahiba acha tu nikutaje ni wewe Swahiba kipenzi Makiwendo nakumiss sanaMtaje Swahiba...
Kummiss mtu nayo si kitu ya kuficha🤣
Hahahahaha shangazi mchokozi eeeh[emoji1787][emoji1787] Natuliajeee auntie na unamuua huyo mzee
🤣🤣🤣🤣Hahahahaha hii dawa nipewe haraka aisee sio kwa kuumwa huku halafu watu wanakaa dawa
Poa tu Swahiba...Hahahahaha, mambo Swahiba kipenzi
Salama kabisa, nimekumiss sanaPoa tu Swahiba...
Za wewe?
Mzima kabisa, mambo yanaendaje lkn ,Swahiba kipenzi changu😘😘😘😘Miss you too Swahiba...
Habari ya Uzima wako?
Hahahahaha..umefurahi eeh swahiba, nasubiri dawa unipe🤣🤣🤣🤣
Miss you too SwahibaSalama kabisa, nimekumiss sana
Mambo yanaenda poa sana...Mzima kabisa, mambo yanaendaje lkn ,Swahiba kipenzi changu
😅😅😅😅Dawa inakuja...Hahahahaha..umefurahi eeh swahiba, nasubiri dawa unipe
Hahahahaha, niletewe nilipo au niifuate mwenyewe ,Swahiba😅😅😅😅Dawa inakuja...
Uletewe wapi Swahiba?