Mshana Jr ni mkongwe kapuku hahahahVipi braza Mshana kawa mkongwe wa kwanza anayetamani kuwa kapuku au ? Namwona humu kwa makapuku simwelewi
Duu nimekubali aisee Mods wenyewe watakua wanatamani kuchangia sema ndio hivyo wanaona aibuYani hatutabiriki kabisaaaa, ila uzi ndo umezidi kuwa hot sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] underground mkongweMshana Jr ni mkongwe kapuku hahahah
Uzuri utakua unaanzisha vita na kapuku na moto wa makapuku unaujuaYaani wakianza kuni-doubt kesi inahamia kwako Uncle [emoji87]
Kwa maono sasa ndio nnapokukubali mpaka basi muendesha baiskeli mwenzanguDuu nimekubali aisee Mods wenyewe watakua wanatamani kuchangia sema ndio hivyo wanaona aibu
Hahahaha huyu mjeda[emoji23] [emoji23] [emoji23] underground mkongwe View attachment 337254
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sina kabisaaaa
Na kama yeye anazo hilo ni tatizo lake sio langu
Mi sitaki vita buanaUzuri utakua unaanzisha vita na kapuku na moto wa makapuku unaujua
Tukujue nyodo zako
Shika pesa.....
..............................
Ndio mimi ndimi ,tumetoka mbali eti toka kuendesha baiskeli mpaka kwenye unabii ,Kwa maono sasa ndio nnapokukubali mpaka basi muendesha baiskeli mwenzangu
Hivi ni wewe yule ajae au tumtazamie mwingine???
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu umetishaDuu nimekubali aisee Mods wenyewe watakua wanatamani kuchangia sema ndio hivyo wanaona aibu
USAWawapi hawa?View attachment 337259
Ung'ae .....Tukujue nyodo zako
Teh haya bana ,mimi nilikua napita tu nikaona nikuchokoze ,sema yule Mkongwe wewe endelea nae tu,na hivi ni diabetic ,utarudi tu kwa makapuku siku mojaMi sitaki vita buana
Nimekubali[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] underground mkongwe View attachment 337254
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]Wawapi hawa?View attachment 337259
Inabidi tuanze uchunguzi.Teh teh ,mimi nimewatadharisha tu makapuku unaweza ukawa double agent
We ni mchokozi [emoji2] Sawa tu lakiniTeh haya bana ,mimi nilikua napita tu nikaona nikuchokoze ,sema yule Mkongwe wewe endelea nae tu,na hivi ni diabetic ,utarudi tu kwa makapuku siku moja