Mi huwa ni wa mwisho kulala dailywe si ulishaaga
na mimi huwa ni wa kwanza kuamka dailyMi huwa ni wa mwisho kulala daily
Hongera sana mana mi huwa wa mwisho kuamkana mimi huwa ni wa kwanza kuamka daily
Niko salama mkuu mi mbio za mchana siwezi maan mafuta mengi mwilini huwa nashindwa sasa huu ndo muda mzuri we nipe nikimbize taratiiiiibu
Mkuu umepitwa na mengi, mpaka mwenzio nataka kununuliwa Actros we hujui, duuh kweli majukumu yanakabaNiko salama mkuu mi mbio za mchana siwezi maan mafuta mengi mwilini huwa nashindwa sasa huu ndo muda mzuri we nipe nikimbize taratiiiiibu
Heshima na kwako pia, sasa hakikisha unapiga mzigo ili kesho tukiamka replies zisome 4kSasa hapa nawez kufanya kazi yangu viuri maana loh! Nyie makapuku wenzangu ni kiboko ya Jf heshima kwenu
Heshima na kwako pia, sasa hakikisha unapiga mzigo ili kesho tukiamka replies zisome 4k
Mkuu umepitwa na mengi, mpaka mwenzio nataka kununuliwa Actros we hujui, duuh kweli majukumu yanakaba
π±π± mkuu hii ni noma mi mgeni kabisaaaaaaa mana niliondoka wako page ya 150 sasa ona loh! Makapuku noma aseeDoohπ³π³π³
Najihisi mgeni humu
tujumuike pamoja mkuu πππNa mi nipo pia, sijui ndo naamka hata sina uhakika
Piga kazi tuMkuu asee mambo ni mengi kweli natamani uhondo huu usinipite ila ndo hivyo