lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,965
Chonde chonde usije ukaturogaNaona malavidavi tu tunaringishiwa
Tatizo mwenzangu hana msimamo.Mnaweza
Wakongwe kwa wakongwe lohhh[emoji23]Kweli wataendana sana.
Naaam shemdarlingShemuuuu
Muweke sawa. Labda hakuamini. Umekaa juu juuTatizo mwenzangu hana msimamo.
Hapana nitawalindaChonde chonde usije ukaturoga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamani, mi sijasemaNenda pm.....kijanaa....
Mpesa isomeeeee.....
Ubahili upi mkuu,wakati pesa zote za nyumba ya urithi amekula yeye.Mchawi wewe mwenyewe tatizo ubahili
Umeonaaaa eeeh.....alafu kazi kulalamika tuuuMchawi wewe mwenyewe tatizo ubahili
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Naaam shemdarling
Suuuu mtajeBisha uone kama sijamtag
Sema Suuuuuuuuuuuuu[emoji144] [emoji144]
Tumia ungo kila kitu kitakuwa poaLohhh kwanza kabisa kuonyesha tu kuwa unaweza dhibiti hili tatizo[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
'You must wait at least 2 seconds before performing this action'
Ukiweza ntaamini kuwa we mkareee
Mkuu ndio unaweka bando sasa hivi?Hayo sasa ni mapenzi nibemende!!!
Braza unapotea sasa jina gani unamuita shemeji yako jiangalieNaaam shemdarling
Nimewaona! Ila wafupi sana. Wataweza kweli?Hapana nitawalindaView attachment 337444 umewaona makomando wangu???
Ungo gani sasa ule wa kupepetea mchele??Tumia ungo kila kitu kitakuwa poa