eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Sasa nahrene mwenyewe anawapenda au mnalumbana wenyewe tumimi nakwambiaje, kwa jinsi nnavyompenda Nahrene nafikiri tutakuja kugombàna one day
Huyo ndo Shem eehsema mkuu
Kumbe wewe ndo unachangia tatizo la watoto wa mitaani kukua!nina mke na michepuko miwili ila ukinikubalia nko radhi kuwaacha wote pamoja na watoto wangu
Wewe sikutaki, wanawake wako watanichinja [emoji27] [emoji27]nina mke na michepuko miwili ila ukinikubalia nko radhi kuwaacha wote pamoja na watoto wangu
Hehee hapo sawa mkuu,,vp kuhusu mijadala mbali mbali au tutaanzisha ya kwetu humu humu?Hapana ni chat room ya wanyonge sababu kila thread tukiingia ni full dharau na nyodo eti "tumejiunga juzjuz tu ".... Ooooh tunavaa pampas na Matusi kibao tumeona isiwe tabu tujenge kibanda chetu
Mafaza wa Jf wapuuzi sana
.......................................
nnaamini ananipenda mimi ila sema anakuwa muoga, kwa sababu yuko na youngbloodSasa nahrene mwenyewe anawapenda au mnalumbana wenyewe tu
Sio mbaya hata mara 1 sio mbayaNimechoka kila siku naenda mimi tu.
Acha wagombane wee...... Wakichoka watapatanaSasa nahrene mwenyewe anawapenda au mnalumbana wenyewe tu
Kweli kabisa,ila wakinitumbua itakuwa mbaya[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sio mbaya hata mara 1 sio mbaya
hawawezi kukuchinja cos nitakuwekea ulinzi zaidi wa Barrack ObamaWewe sikutaki, wanawake wako watanichinja [emoji27] [emoji27]
Kwani umekuaje mkuuMapenzi yanabadilisha sana watu Sikutegemea kama ningekuwa hivi aisee.
Listen love songs tu hahahahahaKwani umekuaje mkuu
Acha kusumbua mali za watu ,kuhonga kwenyewe huwezi.hawawezi kukuchinja cos nitakuwekea ulinzi zaidi wa Barrack Obama
Hahahaa kumbe nyimboListen love songs tu hahahahaha
Wewe ulijua nini? HahahahaHahahaa kumbe nyimbo
niko radhi nichangie kuongeza street children ila cyo kumkosa NahreneKumbe wewe ndo unachangia tatizo la watoto wa mitaani kukua!
kwanza nkupe sh. ngapi ili umuache Nahrene?Acha kusumbua mali za watu ,kuhonga kwenyewe huwezi.
Mi nilifikiri lizzy anakupa mahaba niueWewe ulijua nini? Hahahaha