Mtaje jina basiNa wifi yetu
Nahrene ananitesa sana jamani ,sijui anataka roho yangu mimi sielewi.Tafuta mwenza ndugu. Vipi Nahrene
Piga mzigo mkuuHahabah kama kawaida tu
Karibu mamy..
Nasikia mtoto harogekiHahahaha nenda kwa jichawi
Ndo manake nae ni hatari tupu
Achana na mapenzi tu nakushauriNahrene ananitesa sana jamani ,sijui anataka roho yangu mimi sielewi.
Mchawi hela tuNasikia mtoto harogeki
Mimi naomba unigawie 6Naanza sasa kugawa like mpaka mkome... namtembelea kila mtu
DUNDERHEAD means foolish, stupid + idiotNami nifundisheni basi hicho kingereza, manake kiswahili nacho kila siku kinachoshaa[emoji30]
Hasa ukiwa nazooo
Mwanamke nywele
. ...............................
Ngoja kwanza nimfuate PM,maana naona anachezea bahati.Mchawi hela tu
Mapenzi na pesa. Sasa kama huna bahati kwenye mapenzi bora utuachie watu kama sisi wenye wapenzimmmh mbona wanasema wanasema ndo yanayoitawala dunia!!
Fanya hivyoNgoja kwanza nimfuate PM,maana naona anachezea bahati.
Weka pichaMkuu watoto kama hawa nawaweza mimi tu.