Sasa uchawi mkubwa ni [emoji383] [emoji383] [emoji383]
Naona kweliSasa uchawi mkubwa ni [emoji383] [emoji383] [emoji383]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Asante Mkuu kwa kuendelea kuwa nami.Hujachelewa sana.
Subiri anakuja akueleze mwenyewe.basi naomba kumjua huyo bahati anaechezewa na huyu bibie
swaga tu na mapene.kwani mkuu unatumia kizizi?
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Pesa ni kila kitu..mganga mwenyewe anazisaka
Pamoja mkuuAsante Mkuu kwa kuendelea kuwa nami.
Hahahahaaa...... Hilo nalo neno.kiuno kinauma!!
Ha ha ha vipi kiongozi...ila niliyemwambia kanichuniaHahahahaaa...... Hilo nalo neno.
Nadhani wewe hatuchekaniJamani hivi ni kweli nimekosa wakunipenda humu ama nyota yangu inasoma magharibi!
Bora ubaki single,mapenzi mabaya sana.Jamani hivi ni kweli nimekosa wakunipenda humu ama nyota yangu inasoma magharibi!
Bora ubaki single,mapenzi mabaya sana.
Afanye kipi chenye kumfaa?Ndo manake nae ni hatari tupu
Achana na mapenzi tu nakushauri
Hii ni chat room haina mwisho mpake tuzeeka .Kapuku wapya wanaingia Jf kila sikuHii mada haiishi? 5k sasa. Kapukus mmeamua..