HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Baba mwenye nyumba!!! We pandisha kodi tu uone hali itakavyo badilikaNa mimi nimekosa wa kunipenda humu JFπ³π³π³π³
Dooh!! Life haliko fair
Waambie waje huku.[emoji3] [emoji3] [emoji3]Post nyingine zinakosa wachangiaji kwaajili yenu mmejichimbia huku mmesahau kwingine
WoyooooooooooooAsante my my naona na una cheo kabisa hahahah
Pole sanaNa mimi nimekosa wa kunipenda humu JFπ³π³π³π³
Dooh!! Life haliko fair
Oooh!! Samahani sikusoma post zote Hongera nawe kwa ubunifu .
soon baada ya kupigwa chini eti nae keshakua mshauri [emoji2] [emoji2]Wewe ndo wakumshauri ivyo!!!! Yameanza lini kuwa mabaya kwako
Kitambo sana.. Vipi wewe au nifanye mamboNgoja nisubiri jibu
Na wewe Je????
Usijali amekuelewa vizuri. Karibu tena Dada yanguOooh!! Samahani sikusoma post zote Hongera nawe kwa ubunifu .
Wameisha.Nahitaji baby aseeπ‘π‘π‘
Babe unaitajika hukuNahitaji baby aseeπ‘π‘π‘
Mkuu mimi sijapigwa kibutiWewe ndo wakumshauri ivyo!!!! Yameanza lini kuwa mabaya kwako
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] darasa gani la home???njoo home usiku nikiwa nimetoka job...nitakufundisha bure kabisa!
Babe unaitajika huku
KweliHii ni chat room haina mwisho mpake tuzeeka .Kapuku wapya wanaingia Jf kila siku
Wakongwe wamejimaliza wenyewe
...............................
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]kiuno kinauma!!
Mpenzi Kapuku nimezunguka kutwa nzima sijapata wa kufanana na wewe hivyo nimerudi kwa furaha kwa kuwa wewe ni mpenzi bora maishani mwangu. Hakika sitakuacha nakupenda sana nitazidisha upendo kwako kwa kuwa wewe niliwazo langu. I LOVE U KAPUKUS.
Mkuu umejuaje kama ni dada!!!Usijali amekuelewa vizuri. Karibu tena Dada yangu