Hahahaha sijui Leo kama atatokea hapa hahahahahJuzi cr7 aliwafanya mbaya akahama jukwaa akaenda kuzini na mama mkwe kupunguza pain thatha leo hagagagagagaaaaaaa
Huko sauzi kuna kipindi yalikuwa yanaingizwa magari ya wizi
AminaPumzika kwa Amani Ndanda Cosovo
oooh Mungu fanya wepesi nimiliki huyu mremboasante mchumbaππ
Kwa shida wapi wewe kubali mmefungwa kihalali kabisaBitoz leo hajalala...kakesha pub akishangilia barca kutolewa kwa shiidaaa
Portugal wapo Euro kakaIf only portugal wange qualify euro CR7 angechukua ballon d'or mwakaniπππ
Mkuu na Huyo wakawako? Sasa wengine Si watakosa??????....oooh Mungu fanya wepesi nimiliki huyu mrembo
Soma post #3Team kapuku can i join u π±π±
Najiona nakidhi vigezo
Join tu ila usajili hupati kwa kua hujakidhi vigezoTeam kapuku can i join u π±π±
Najiona nakidhi vigezo
Niko poa kabisaWakuu mko poa!?
Hamna shida mkuu karibiaTeam kapuku can i join u π±π±
Najiona nakidhi vigezo
Hujambo... KijanaWakuu mko poa!?
nakupendaUsiku mwema wote. Mlale salama