Na wewe uzee mwisho wapi?Sitaki Shikamoo yako [emoji6]
Acha nifanye hivyo, maana hakuna namna sasaMay be tumelogwa!!! Hebu mtume fundi atuangalizie[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hapana we unaweza kuwafanya makapuku waichukie hii post baki kama ulivyo tu mkuu uwezo wako wa kugeuza vitu unatisha aisee
naona kijana unagusa moyo wangu ulipo..kwani haiwezi kuwa?
KimyaaaaaNawauliza makapuku wangapi wako tayari kumkubali Mshana jr kuwa mlezi wa MAKAPUKU?
cc;
Bitoz..founder
Jimena..assist...
Youngblood
Cute b.
Nahrene nk
Inabidi wote mtutambulishe....Bitoz bado hajamtambulisha 1st lady
Wapo busy si mnajua utafutaji..Nawauliza makapuku wangapi wako tayari kumkubali Mshana jr kuwa mlezi wa MAKAPUKU?
cc;
Bitoz..founder
Jimena..assist...
Youngblood
Cute b.
Nahrene nk
Kimyaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wapo busy si mnajua utafutaji..
Kwa "dawa za Mshana" hata ukiandika NO itageuka YES tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
...........................
Halafu kweli [emoji2] [emoji2] [emoji2]Wapo busy si mnajua utafutaji..
Kwa "dawa za Mshana" hata ukiandika NO itageuka YES tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
...........................
kapotelea wapi kwani au naye majanga kama yangu??Bundle kama huna msubiri damtanzania siku akiibuka anaweza kukufikiria
njoo pm mpendwaye anasema et tayar
Kwani we ilikuwaje mkuu...kapotelea wapi kwani au naye majanga kama yangu??
Nahrene i miss u[emoji8]Halafu kweli [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hapo ndo hata mi sielewi[emoji134]kapotelea wapi kwani au naye majanga kama yangu??
Hata mi nimekukumbukaNahrene i miss u[emoji8]
Kukukumbuka haisound vzr kama nimekumissHata mi nimekukumbuka
kila time nakuwaza wewe, hadi nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa ajili yako wewe, plzz nihurumie..Hata mi nimekukumbuka
Tunadumisha lugha ya taifaKukukumbuka haisound vzr kama nimekumiss
Weee..... Fanya kazi. Ukitumbuliwa usije kunilaumukila time nakuwaza wewe, hadi nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa ajili yako wewe, plzz nihurumie..
nateseka kwa ajili yako Nahrene