Wewe uko poa lakini?Kumbe mmeshaamka[emoji4]
Bundle mgogoro?daaaaaaaaaaah!!!! Ankali ndo nakupata now
Kwani ilikuwaje tukakuacha hivyoNiko page ya 618 jamani mpaka nifike mlipofikia pengine itakuwa mchana, na ni lazima nisome zote, na kulike zoteee
Hivi Huyo kwenye dp yako ni wewe?Za majukumu jamani, niliwamiss sana, hope mpo poa
Bwana eeh we acha tuuTuko poa, ulipotea.
Bora useme wewe. Joto city tumeshazoea
Kweli kabisa mi bando ilikata...na nilikuwa mbali na maeneo ta chuo kujiunga na bando laoSidhani kama wote wana majukumu, kuna wengine hawana 'bando'.
Kamsemee tu shemShem, mbona huyu jamaa anakuita shemdarling?
Naenda kusema kwa braza Th Name
Ndio, ni mimi huyo. Nashukuru kama umeshinda salamaHivi Huyo kwenye dp yako ni wewe?
Nimeshinda salama. Kabisaa...kwa vile Siku imeisha bila kutumbulia
Ahahahahahahahahahahah,Magu hataka wanafunzi wawe online wakiwa darasaniBundle mgogoro?
Nilikamatwa mwenzio[emoji2] [emoji2] ndio maana nilikuwa sionekaniMkuu damtanzania, mbona kimya sana?
Tayari usajili wako umekamilikath name anashughulikia
Jipeni moyo mtashindaaaKomaa mwisho wa siku anaweza hata kukuonea huruma...
My one and only lizziebettie [emoji257]I miss you guys