Makapuku Forum

yani ukifungua Jf na kuingia kwenye headline unakutana na "Makapuku Forum" kila wakat iko first kwa sababu inachangiwa kila wakati.
utafikiri imekuwa BREAK NEWS vileeee, au taarifa ya msiba.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
basi hao wanaojiona wakongwe Wamevimba kwa hasira[emoji16] mpaka wanatakà kupasuka vileee
 

Duuuuuh hii nayo Kali aiseeeee
 
Binafsi siingii kwenye thread nyingine yeyote zaidi ya hii. Huku nina uhakika wa likes. Kule nabahatisha, sasa kwanini nisije huku. Mie nataka hao wakongwe wajifunze roho ya kutoa kama sie. Mtu likes hununui, hufungiwi account kwa kutoa likes, kwanini usitoe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…