Dogo mbona unatengeneza vitu ambavyo havipo? Una tatizo la low self esteem?RRONDO hata kama walikuwepo lakini walikuwa hawana maarifa katika vichwa vyao ndio maana wameifanya jf kuwa na matabaka. Nenda kawaambie kuwa sisi ni dhahabu zenye thamani hatutishwi na vipande vya chupa mfano wako na wengine
Anhaaa duh poleni sana, mnataka public attention kumbe?Huu ni uzi wa wanaharakati MAKAPUKU.
Vp tena ndugu? Kuna ubaya?Chonde chonde
Mkuu sisi hatutaki public attention ya lazima,kikubwa tunataka kuona Jf isiyo na matabaka.Anhaaa duh poleni sana, mnataka public attention kumbe?
Jitahidi kuwa na bundle ili muda mwingi uwe unachangia posts, kusoma vitabu ili uwe unachangia kwa point, na pia kua na marafiki hata 5 tu
Tuupoooooooo.......Makapuku mpooooooo...
LUSHOTO NATIONAL LANGUAGEUjanja kishambaa ni uhambanyi
Sa kaboko kesiai....kimaindi
Iko zaidi ya Zanzibar Revolution.Hii ni Kapuku Revolution
Tunajivunia umoja wetu...sisi sote ni sawaTuupoooooooo.......
Hakuna shida.Sana madame b hatuna ugonvi na mtu ila dharau hatutaki madame b jf iwe ya wote na turekebishane na tukosoane ili tulisongeshe gurudumu letu la jf
Ati bado sijapita kwako?Jamani mi nina hasira na likes
Umetishaaaa mbayaaa.......Leo pages 1000 lazima zifike.
Atakayeishiwa bundle aniPM.
Hujaiona bado?Naombeni likes jamani[emoji85]
Nafikiri sijakuelewaHaya mambo ni ya FB,hapa JF ni fikra pevu.
Pole kwa matatizo mkuu ibra87jamani msione kimya nipo kwenye kutatua matatizo ya kifamilia.
LUSHOTO NATIONAL LANGUAGE
Madam katika ubora wako[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Hakuna shida.
Mtu akikuzungueni, ni-mention.
Eti makapuku.
Mmenifurahisha sana
Mkuu, naona unahitaji likes zetu kijanja, naona imekuchoma kumoyo.Haya mambo ni ya FB,hapa JF ni fikra pevu.
Anaumia sana kuona huku watu wanapendana.Mkuu, naona unahitaji likes zetu kijanja, naona imekuchoma kumoyo.
Ha ha ha ha!! pole mkuu hii ni mizuka tu.. Heshima ya Jf itarudishwa na MAKAPUKU. Wao wakisaga chupa sisi tunamwaga ti.ndi kaliDogo mbona unatengeneza vitu ambavyo havipo? Una tatizo la low self esteem?