Nani wa Dar?Wanaume wa Dar ndo walivyo, inabidi tumzoee tu
Wivu[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Na mimi niite hilo jina ulilomwita hapo mwisho[emoji12]
Si wewe? Mbona ongea yako ni kama wale wale?Nani wa Dar?
usiharibu uzi tasavaliWanaume wa Dar ndo walivyo, inabidi tumzoee tu
Kuna wa Dar anaweza kusimamia show kama mimi...utaulizia Airport[emoji12]Si wewe? Mbona ongea yako ni kama wale wale?
Kwasasa ni chitchat tu, hukuona bandiko la Sizzya??usiharibu uzi tasavali
Sawa ntafanya hivyo,Kuna wa Dar anaweza kusimamia show kama mimi...utaulizia Airport[emoji12]
sijauona, kanimention basiKwasasa ni chitchat tu, hukuona bandiko la Sizzya??
Ukapuku ndio haswaaa utambulisho wetu na sie tumelipenda hilo jina wala hatuna shaka nalosasa siku ikitokea tumekuwa wakwasi itakuaje? tutabadili jina au tumeridhika na huu ukapuku
Pole sana, lakini hujachelewaNimechelewa kuuona huu uzi, thanks @ThName
AsanteePole sana, lakini hujachelewa
Kupiga tpbo, kanzu,chenga za kuudhi,shot on target + magoli.....Nasubiria counter-attack ya wakongwe... hili ni bonge la mechi.... ball possesion makapuku wanaongoza
kama ronaldo..Kupiga tpbo, kanzu,chenga za kuudhi,shot on target + magoli.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asante sana. Nimeamka poa kabisa. Vipi wewe?Ulale unono 🙂
Kwahiyo wewe wanaume wa Dar huwataki au?Kwani we ni wa Dar??[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]