kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuna siku niliwahi kusikia mamlaka ya mawasiliamo TCRA ikisema kuwa gharama za muingiliano kati ya kampuni na kampuni itashuka hadi kufikia Tsh. 10 kwa dk 1 muda muda fulani ukifika. Lakini hadi leo liko kampuni moja ya simu za mkononi inatangaza gharama ya sh. 1 kwa sekunde kwenda mitandao yote, hii ni sawa na Tsh. 60 kwa dakika moja, na wala sisikii wala kuona TCRA ikisema chochote kwenye hilo.
Tunaibiwa au muda uliotajwa wa gharama kushuka bado haujafika?
Tunaibiwa au muda uliotajwa wa gharama kushuka bado haujafika?