Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Ndio hao wengine wanaishauri serikali isiajiri wasio watumishiKuna watu watauana kwa ajili ya hizi KAZI. Time will tell.
Mbaya zaidi hadi wenye ajira wanazitolea udenda hizo ajira za muda.
Inasikitisha sanaKuna watu watauana kwa ajili ya hizi KAZI. Time will tell.
Mbaya zaidi hadi wenye ajira wanazitolea udenda hizo ajira za muda.
Kweli kabisa, kuna watu wa halmashauri fulani walipigishwa kazi ila hawajalipwa mpaka sasa...Inategemeana na halmashauri uliyopo.
Kuna baadhi ya sehemu ile ya makazi hawakulipwa kama ilivyoahidiwa.
Hii nchi hii sijui kama upigaji utaisha, huyu alieminywa kwenye makazi nae akipata cheo atapiga parefu kufidia hasira zake na chain itaendelea hivyo hivyo. Ukipata nafasi pigaaa
Hahaaaaaaa ngoja tuone ila wasanue na morogoro Mc , dodoma na mtwa washakinukisha ajiza za watendajiJamani Rahaaaa
Wana tamaa sana hawa jamaa sjui mishahara hayiwatoshiInasikitisha sana
Laki tano wanapewa kwa kazi ya siku tatu.Hakuna atakayelamba zaidi ya 2M hapo kwa zoezi zima sasa sielewi mbwembwe zote ni za nini
Ndomana umepigwa ban [emoji1]Hakuna atakayelamba zaidi ya 2M hapo kwa zoezi zima sasa sielewi mbwembwe zote ni za nini
Sisi ambao hatuja acha copy kwa mtendaji kuna madhara yapiZikiwa zimebaki siku kadhaa kufunga zoezi la kupokea maombi. Nataarifiwa kuwa makarani wameandaliwa Kitita cha maana. Hii haijawahi kutokea tokea kuumbwa kwa ulimwengu. Huku Anwani za makazi, huku Sensa. Vijana tuchangamkie pesa hiyo
View attachment 2235068
kenge wwNdomana umepigwa ban [emoji1]
@Maxence Melo mbona ananitukana huyu mtukenge ww
@modulator pigeni ban huyukenge ww