Makarani wa Sensa kuvuna Kitita?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Zikiwa zimebaki siku kadhaa kufunga zoezi la kupokea maombi. Nataarifiwa kuwa makarani wameandaliwa Kitita cha maana. Hii haijawahi kutokea tokea kuumbwa kwa ulimwengu. Huku Anwani za makazi, huku Sensa. Vijana tuchangamkie pesa hiyo

 
Inategemeana na halmashauri uliyopo.

Kuna baadhi ya sehemu ile ya makazi hawakulipwa kama ilivyoahidiwa.

Hii nchi hii sijui kama upigaji utaisha, huyu alieminywa kwenye makazi nae akipata cheo atapiga parefu kufidia hasira zake na chain itaendelea hivyo hivyo. Ukipata nafasi pigaaa
 
Kweli kabisa, kuna watu wa halmashauri fulani walipigishwa kazi ila hawajalipwa mpaka sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…