Hawa watakua wanatoka nakonde zambiaFamily Of Football nadhani ni ya mbeya huko huko jamaa wanajua mechi nzuri sana
Oooh kumbe ni wa mbeya bhana...wanadogo jezi namba 12 anakipaji atafika mbaliHuenda wanacheza mpira mzuri sana tena umetulia build up za maana
Yeah naangalia hapa iko well balancedFamily Of Football nadhani ni ya mbeya huko huko jamaa wanajua mechi nzuri sana
Hicho kikosi kikowapi? Uandishi mwingine yaani dahJamaa Kenneth atakuwa na hela sio poa maana kwa kikosi hiki na Kila mwezi alipe mishahara asafirishe wachezaji agharamie chakula na malazi mara matibabu
๐๐๐Nadhani hata hao kina gsm hawafati kwa huyu jamaa