Makatibu wa tume ya kukusanya maoni wachakachua maoni ya wanaopinga mahakama ya kadhi

Makatibu wa tume ya kukusanya maoni wachakachua maoni ya wanaopinga mahakama ya kadhi

mtayeshelwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
1,170
Reaction score
390
Pigo kwa kanisa, makatibu wa tume ya kukusanya maoni ya mabadiliko ya katiba,ambao wote ni waislam wamechakachua maoni ya wakristo ambao kwa ujumula wao wanapinga katiba mpya kuitambua mahakama ya kadhi,na kuonyesha kwamba mikoa yote inahitaji mahakama ya kadhi isipokuwa mikoa miwili tu ambayo ni mwanza na mbeya,wakristo na watu wote wenye mapenzi mema tujipange kwenye kura ya maoni kuikataa kwa nguvu zote rasm ya katiba mpya.
 
Nimepata taarifa hizi Jana kupitia ujumbe mfupi wa simu,,,,Zimenishitua sana...Hili halikubaliki kwa Gharama yoyote ile.
 
Bora nife kuliko kuiona hiyo mahakama ya kadhi hapa Tanzania. Tutamwaga damu kwa hili. Uislam ni kinyaa !
 
Uzushi tu. Acheni hizo, udini utawamaliza Watanzania. Tafakari.
 
wakujipanga sio wakristo tu. Bali hata sisi waisilamu hatuwezi kabisa kwenda kama hiyo mahakama inavyotaka. I
 
Mkuu, huo sio uzushi hiyo ndiyo hali halisi,kama ni uzushi mbona mpaka sasa hivi tume haijalitolea maelezo swala.silence means,,,,,,,,,,,,,,clear
 
Kuna watu wana hamu sana na chuki, fitina na ugomvi kaitka jamii ya watanzania. Kama JK ndo kapanga mkakati huu basi naye hatasalimika maana hapatatosha. Hivi lakini hawa watu wanatafuta nini hasa. Baada ya kutukana wakristo kiasi hiki kwenye Annur, Redio "amani', kwenye mihadhara, kuchoma makanisa, kupiga risasi watu. Vyote havitoshi sasa wantaka roho za wakristo. Mungu atajitetea mwenyewe. Mimi binafsi nawaselea kila itwapo leo ili kwa tabia hizo waone ukuu wa Mungu Yehova, na hivo kutoa salama kwa alah kwamba si chochote.
 
Tanzania haiwezi wekha kwa sababu raia wamezoea kuwanyanyasa wananchi iko siku wananchi watajikombia toka kwa raia
 
Wapo waliotuma sms, e mail na kupinga simu kwa majina ya Kikirsto kuafiki mahakama ya Kadhi, ili kuonyesha hata dini nyingine zimeafiki. Source jirani yangu. Tume iwe makini.
 
Kama wanataka Mahakama ya Kadhi...iwe kwa gharama yao sio ya Serikali!hapo wataenda sawa!pia kutakuwa na mipaka na nguvu ya hizo Mahakama !!
 
jk atasema watachakachuaje wakati mwenyekiti ni mkristo? mwenyekiti pale ni figure head hana lolote kazi wanafanya makatibu ambao jk ameweka islamist wote.
 
tutasikia mengi kwenye mchakato wa kukusanya maoni ya katiba mpya sitashangaa nikisikia mtu anasema wapiga kengele za makanisani na azana za misikitini walipwe na serikali
 
Back
Top Bottom