HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
BOT kama mamlaka inayosimamia shughuli zote za fedha, je mlipitisha haya makato ya banki?
Je, mlikaa na wadau kujua athari za makato makubwa ya kifedha kwa kutoa pesa kwenye benki/mawakala?
Hebu pitieni upya haya makato, maana hakuna furaha kufurahia benki imepata faida kubwa kumbe wanatuumiza wananchi.
Hebu liangalieni hili.
Haiingii akilini kukatwa 10000 kwenye kutoa 1mil kwa wakala
Au kukatwa asilimia moja kwenye muamala wa benki
Je, mlikaa na wadau kujua athari za makato makubwa ya kifedha kwa kutoa pesa kwenye benki/mawakala?
Hebu pitieni upya haya makato, maana hakuna furaha kufurahia benki imepata faida kubwa kumbe wanatuumiza wananchi.
Hebu liangalieni hili.
Haiingii akilini kukatwa 10000 kwenye kutoa 1mil kwa wakala
Au kukatwa asilimia moja kwenye muamala wa benki