kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Sikua nnafahamu hili, meanzo nlijua NBC wanawasogeza wateja wao na huduma kedekede ili wasisumbuke kwenda ATM
Ila leo nmefahamu kua ni huzuni
Sikuwa napenda,hitaji kutumia hizi apps za mkononi., hadi wao wenyewe waliponipigia waniunganishe!
Yaani ukinunua muda wa maongezi wa 2000 na wao wanakata 2000!!!
Leo si nikasema niangalie transaction nakuta kwenye kila transactions chini yake kuna hela inakatwa from account to wallets sikua najua maana yake
Ebana eeh wakubwa wanafyeka tu fyaaa!
Anzia leo sifanyi upuuzi hu tena!
Ila leo nmefahamu kua ni huzuni
Sikuwa napenda,hitaji kutumia hizi apps za mkononi., hadi wao wenyewe waliponipigia waniunganishe!
Yaani ukinunua muda wa maongezi wa 2000 na wao wanakata 2000!!!
Leo si nikasema niangalie transaction nakuta kwenye kila transactions chini yake kuna hela inakatwa from account to wallets sikua najua maana yake
Ebana eeh wakubwa wanafyeka tu fyaaa!
Anzia leo sifanyi upuuzi hu tena!