Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kwa kweli Nicolo Machiavelli alikuwa muona mbali sana.
"Hakuna sifa inayomuangamiza mtu haraka kama ya kuwa mwema(Mtoaji); kadri unavyoitenda ndivyo unavyopoteza uwezo wa kuitenda. Hilo linakufanya uwe fukara na mtu wa kudharaulika.
"Jambo la busara ni kuvumilia kuitwa kauzu(bahili). Sifa hiyo huleta aibu lakini haikufanyi uchukiwe.
"Hakuna sifa inayomuangamiza mtu haraka kama ya kuwa mwema(Mtoaji); kadri unavyoitenda ndivyo unavyopoteza uwezo wa kuitenda. Hilo linakufanya uwe fukara na mtu wa kudharaulika.
"Jambo la busara ni kuvumilia kuitwa kauzu(bahili). Sifa hiyo huleta aibu lakini haikufanyi uchukiwe.