Makavelli na tamaa ya watu kutaka kuonekana wema

Makavelli na tamaa ya watu kutaka kuonekana wema

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwa kweli Nicolo Machiavelli alikuwa muona mbali sana.

"Hakuna sifa inayomuangamiza mtu haraka kama ya kuwa mwema(Mtoaji); kadri unavyoitenda ndivyo unavyopoteza uwezo wa kuitenda. Hilo linakufanya uwe fukara na mtu wa kudharaulika.

"Jambo la busara ni kuvumilia kuitwa kauzu(bahili). Sifa hiyo huleta aibu lakini haikufanyi uchukiwe.
 
Back
Top Bottom