Makazi ya viumbe

Makazi ya viumbe

STEPHEN JIBE

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
61
Reaction score
8
Habar wadau,naomba kufahamu dhana hzi.
je ni kweli sisi pembezon,au tumaning'inia ubavuni mwa dunia?
kwani hapo awal nilijua tumo ndan ya dunia.
Asanteni sana
 
naomba nijue una elimu gani mpaka sasa? la saba? form 4? form 6? chuo kikuu?but dont tell me chuo kikuu au form 4,6 maana ukipita level hizo lazima ukutane na huo ufafanuzi kigeografia!!
 
Back
Top Bottom